- 
	                        
            
            1 Wafalme 14:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
21 Wakati huo, Rehoboamu mwana wa Sulemani alikuwa mfalme wa Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka 41 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 17 huko Yerusalemu, jiji ambalo Yehova alichagua+ miongoni mwa makabila yote ya Israeli ili kuweka jina lake humo.+ Mama ya Rehoboamu aliitwa Naama, naye alikuwa Mwamoni.+
 
 -