Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mtanijengea madhabahu ya udongo, na juu yake mtanitolea dhabihu zenu za kuteketezwa, dhabihu zenu za ushirika,* kondoo, mbuzi, na ng’ombe wenu. Mahali popote nitakapochagua jina langu likumbukwe,+ nitawajia, nami nitawabariki.

  • Kumbukumbu la Torati 12:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Badala yake, mtafuteni Yehova Mungu wenu mahali popote atakapochagua kuweka jina lake na mahali atakapokaa miongoni mwa makabila yote, mwende mahali hapo.+ 6 Hapo ndipo mnapopaswa kupeleka dhabihu zenu za kuteketezwa,+ matoleo yenu, sehemu zenu za kumi,+ mchango kutoka mkononi mwenu,+ dhabihu zenu za nadhiri, matoleo yenu ya hiari,+ na wazaliwa wa kwanza wa ng’ombe na kondoo wenu.+

  • 1 Wafalme 8:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 ‘Kuanzia siku niliyowatoa watu wangu Waisraeli nchini Misri, sijachagua jiji katika makabila yote ya Israeli na kujenga humo nyumba ili jina langu likae humo,+ lakini nimemchagua Daudi awatawale watu wangu Waisraeli.’ 17 Moyo wa baba yangu Daudi ulitamani kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki