Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:32, 33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hampaswi kufanya agano pamoja nao wala na miungu yao.+ 33 Hawapaswi kuishi katika nchi yenu, wasije wakasababisha mnitendee dhambi. Mkiiabudu miungu yao, kwa hakika itakuwa mtego kwenu.”+

  • Kumbukumbu la Torati 7:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Msioane nao kamwe. Msikubali mabinti wenu waolewe na wana wao wala msikubali wana wenu wawaoe mabinti wao.+ 4 Kwa maana watawapotosha wana wenu waache kumfuata Mungu na kuanza kuabudu miungu mingine;+ kisha hasira ya Yehova itawaka dhidi yenu, naye atawaangamiza upesi.+

  • 1 Wafalme 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sulemani alipozeeka,+ wake zake waliugeuza* moyo wake ukaifuata miungu mingine,+ na moyo wake haukuwa kamili kwa* Yehova Mungu wake kama moyo wa Daudi baba yake.

  • 1 Wakorintho 7:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Mke amefungwa kwa muda wote ambao mume wake yuko hai.+ Lakini mume wake akilala usingizi katika kifo, yuko huru kuolewa na yeyote anayemtaka, katika Bwana tu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki