17Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova alimtokea na kumwambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote. Tembea mbele zangu na ujithibitishe mwenyewe kuwa bila kosa.*
9 Kwa imani aliishi akiwa mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya kigeni,+ akiishi kwenye mahema+ pamoja na Isaka na Yakobo, warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+
13 Katika imani hawa wote walikufa, ingawa hawakupokea utimizo wa zile ahadi;+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba walikuwa wageni na wakaaji wa muda katika nchi.