Mwanzo 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Pia Sethi akazaa mwana na kumpa jina Enoshi.+ Wakati huo watu walianza kuliitia jina la Yehova. Luka 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 mwana wa Enoshi,+mwana wa Sethi,+mwana wa Adamu,+mwana wa Mungu.
23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 mwana wa Enoshi,+mwana wa Sethi,+mwana wa Adamu,+mwana wa Mungu.