Mwanzo 43:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Msimamizi huyo akawaambia: “Ni sawa. Msiogope. Mungu wenu na Mungu wa baba yenu aliweka hazina katika mifuko yenu. Tayari nimepokea pesa zenu.” Baada ya hayo akamtoa Simeoni na kumleta kwao.+
23 Msimamizi huyo akawaambia: “Ni sawa. Msiogope. Mungu wenu na Mungu wa baba yenu aliweka hazina katika mifuko yenu. Tayari nimepokea pesa zenu.” Baada ya hayo akamtoa Simeoni na kumleta kwao.+