23 Lakini hawakujua kwamba Yosefu alielewa mambo waliyokuwa wakisema, kwa sababu aliongea nao kupitia mkalimani. 24 Basi akaenda mbali nao na kuanza kulia.+ Aliporudi na kuzungumza nao, alimchukua Simeoni+ kutoka kati yao na kumfunga mbele ya macho yao.+