Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:31-34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi wakalichukua joho la Yosefu, wakamchinja mbuzi dume na kulichovya joho hilo katika damu ya mbuzi huyo. 32 Kisha wakamtumia baba yao joho hilo na kumwambia: “Hiki ndicho tulichopata. Tafadhali chunguza uone ikiwa joho hili ni la mwanao au la.”+ 33 Basi akalichunguza na kusema kwa mshtuko: “Ni joho la mwanangu! Inaonekana ameliwa na mnyama mkali wa mwituni! Kwa hakika Yosefu ameraruliwa vipandevipande!” 34 Ndipo Yakobo akayararua mavazi yake na kuvaa nguo za magunia kiunoni na kumwombolezea mwanawe kwa siku nyingi.

  • Mwanzo 44:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Bwana wangu tukakuambia, ‘Tuna baba aliyezeeka na mtoto aliyemzaa uzeeni, yule mdogo.+ Lakini ndugu yake alikufa,+ kwa hiyo ndiye mwana pekee aliyebaki wa mama yake,+ na baba yake anampenda.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki