9 Baada ya hayo akaota tena ndoto nyingine, naye akawasimulia ndugu zake ndoto hiyo: “Nimeota ndoto nyingine. Wakati huu jua na mwezi na nyota 11 zilikuwa zikiniinamia.”+
6 Yosefu ndiye aliyekuwa msimamizi nchini Misri,+ na ndiye aliyewauzia nafaka watu wote duniani.+ Kwa hiyo ndugu za Yosefu wakaja na kumwinamia kifudifudi.+