Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa wakamwona akiwa mbali, na kabla hajafika karibu, wakaanza kupanga njama ya kumuua.

  • Mwanzo 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi wafanyabiashara hao Wamidiani+ walipokuwa wakipita, ndugu zake walimtoa shimoni na kumuuza kwa hao Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Watu hao wakampeleka Yosefu Misri.

  • Mwanzo 42:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wakaambiana: “Bila shaka tunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu,+ kwa sababu tuliyaona mateso yake alipotusihi tumhurumie, lakini hatukumsikiliza. Ndiyo sababu tunateseka hivi.” 22 Kisha Rubeni akawaambia: “Je, sikuwaambia, ‘Msimdhuru mtoto,’* lakini hamkunisikiliza?+ Sasa kwa hakika tunadaiwa damu yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki