-
Mwanzo 37:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Sasa wakamwona akiwa mbali, na kabla hajafika karibu, wakaanza kupanga njama ya kumuua.
-
-
Mwanzo 42:21, 22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Wakaambiana: “Bila shaka tunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu,+ kwa sababu tuliyaona mateso yake alipotusihi tumhurumie, lakini hatukumsikiliza. Ndiyo sababu tunateseka hivi.” 22 Kisha Rubeni akawaambia: “Je, sikuwaambia, ‘Msimdhuru mtoto,’* lakini hamkunisikiliza?+ Sasa kwa hakika tunadaiwa damu yake.”+
-