Mwanzo 41:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Tena Farao akamwambia Yosefu: “Mimi ni Farao, lakini hakuna mtu anayepaswa kufanya jambo lolote* bila idhini yako katika nchi yote ya Misri.”+ Mwanzo 45:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hivyo basi, si ninyi mlionituma hapa, bali ni Mungu wa kweli, ili aniweke kuwa mshauri mkuu* wa Farao na msimamizi wa nyumba yake yote na mtawala wa nchi yote ya Misri.+
44 Tena Farao akamwambia Yosefu: “Mimi ni Farao, lakini hakuna mtu anayepaswa kufanya jambo lolote* bila idhini yako katika nchi yote ya Misri.”+
8 Hivyo basi, si ninyi mlionituma hapa, bali ni Mungu wa kweli, ili aniweke kuwa mshauri mkuu* wa Farao na msimamizi wa nyumba yake yote na mtawala wa nchi yote ya Misri.+