Mwanzo 43:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Halafu Yosefu akatoka nje haraka kwa sababu alilemewa na hisia alipomwona ndugu yake, akatafuta mahali pa kulilia. Kwa hiyo akaingia katika chumba cha faragha na kulia huku akitokwa na machozi.+
30 Halafu Yosefu akatoka nje haraka kwa sababu alilemewa na hisia alipomwona ndugu yake, akatafuta mahali pa kulilia. Kwa hiyo akaingia katika chumba cha faragha na kulia huku akitokwa na machozi.+