Hesabu 26:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wana wa Simeoni+ kulingana na koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka kwa Yakini, ukoo wa Wayakini; 13 kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli. 1 Mambo ya Nyakati 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wana wa Simeoni+ walikuwa Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera, na Shauli.+
12 Wana wa Simeoni+ kulingana na koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka kwa Yakini, ukoo wa Wayakini; 13 kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.