Mwanzo 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni. Mwanzo 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wana wa Simeoni+ walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli+ mwana wa mwanamke Mkanaani. Kutoka 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.+ Hizo ndizo koo za Simeoni. 1 Mambo ya Nyakati 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wana wa Simeoni+ walikuwa Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera, na Shauli.+
23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni.
10 Wana wa Simeoni+ walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli+ mwana wa mwanamke Mkanaani.
15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.+ Hizo ndizo koo za Simeoni.