4 Kwa maana baada ya siku saba tu, nitafanya mvua inyeshe+ duniani siku 40 mchana na usiku,+ nami nitafagilia mbali kutoka duniani kila kiumbe kilicho hai nilichokiumba.”+
20 ambao mwanzoni hawakuwa watiifu Mungu alipokuwa akingoja kwa subira* katika siku za Noa,+ safina ilipokuwa ikijengwa,+ ambayo ndani yake watu wachache, yaani, nafsi nane,* walichukuliwa salama kupitia maji.+