10 Mungu akamwambia: “Jina lako ni Yakobo.+ Hutaitwa tena Yakobo, jina lako litakuwa Israeli.” Naye akaanza kumwita Israeli.+ 11 Mungu akaendelea kumwambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Zaa uwe na watoto wengi. Mataifa na kusanyiko la mataifa litatoka kwako,+ na wafalme watatoka kwako.+