Mwanzo 41:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Njaa hiyo ikaenea duniani pote.+ Ndipo Yosefu akaanza kuyafungua maghala yote ya nafaka yaliyokuwa katika majiji yao na kuwauzia Wamisri chakula,+ kwani njaa hiyo ilikuwa imeilemea sana nchi ya Misri. Mwanzo 44:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baadaye baba yetu akatuambia, ‘Rudini huko mkatununulie chakula kidogo.’+
56 Njaa hiyo ikaenea duniani pote.+ Ndipo Yosefu akaanza kuyafungua maghala yote ya nafaka yaliyokuwa katika majiji yao na kuwauzia Wamisri chakula,+ kwani njaa hiyo ilikuwa imeilemea sana nchi ya Misri.