13 Wanawe walimbeba na kumpeleka katika nchi ya Kanaani na kumzika katika pango lililo katika shamba la Makpela, shamba lililo mbele ya Mamre ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kutoka kwa Efroni Mhiti ili awazike humo watu wake.+
15 Ndipo Yakobo akashuka kwenda Misri,+ naye akafa akiwa huko,+ na pia mababu zetu.+16 Wakabebwa mpaka Shekemu na kulazwa katika kaburi ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kwa kiasi fulani cha fedha kutoka kwa wana wa Hamori huko Shekemu.+