-
Mwanzo 47:29, 30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Wakati wa Israeli kufa ulikuwa ukikaribia,+ kwa hiyo akamwita Yosefu mwanawe na kumwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, tafadhali, weka mkono wako chini ya paja langu, na unitendee kwa upendo mshikamanifu na uaminifu. Tafadhali, usinizike Misri.+ 30 Nitakapokufa,* unapaswa kunibeba na kunitoa Misri na kunizika katika kaburi la mababu zangu.”+ Basi Yosefu akasema: “Nitafanya tu kama unavyosema.”
-