Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini wazao wako watarudi hapa+ katika kizazi cha nne, kwa sababu uovu wa Waamori bado haujafikia kipimo chake kamili.”+

  • Mwanzo 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Niko pamoja nawe, nami nitakulinda popote utakapokwenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii.+ Sitakuacha mpaka nitakapofanya mambo niliyokuahidi.”+

  • Mwanzo 47:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wakati wa Israeli kufa ulikuwa ukikaribia,+ kwa hiyo akamwita Yosefu mwanawe na kumwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, tafadhali, weka mkono wako chini ya paja langu, na unitendee kwa upendo mshikamanifu na uaminifu. Tafadhali, usinizike Misri.+ 30 Nitakapokufa,* unapaswa kunibeba na kunitoa Misri na kunizika katika kaburi la mababu zangu.”+ Basi Yosefu akasema: “Nitafanya tu kama unavyosema.”

  • Mwanzo 50:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wanawe walimbeba na kumpeleka katika nchi ya Kanaani na kumzika katika pango lililo katika shamba la Makpela, shamba lililo mbele ya Mamre ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kutoka kwa Efroni Mhiti ili awazike humo watu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki