Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hatimaye Yehova akamwambia Yakobo: “Rudi kwenye nchi ya baba zako na kwa watu wako wa ukoo,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe.”

  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu anayesema uwongo,+

      Wala si binadamu anayebadili nia yake.*+

      Akisema jambo, je, hatalitenda?

      Akinena jambo, je, hatalitimiza?+

  • Yoshua 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Basi sasa nakaribia kufa,* nanyi mnajua vizuri kwa mioyo yenu yote na kwa nafsi* zenu zote kwamba halikukosa kutimia hata neno moja kati ya ahadi zote nzuri ambazo Yehova Mungu wenu aliwaahidi. Zote zimetimia kwenu. Halikukosa kutimia hata neno moja aliloahidi.+

  • Waebrania 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo kuhusiana nayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tutiwe moyo kabisa ili tushike imara tumaini lililowekwa mbele yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki