-
Waebrania 6:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo haiwezekani Mungu kusema uwongo, sisi ambao tumekimbia hadi kwenye kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu tukishikilia tumaini lililowekwa mbele yetu.
-