18 ili kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo kuhusiana nayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tutiwe moyo kabisa ili tushike imara tumaini lililowekwa mbele yetu.
18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.