Yoshua 21:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia kati ya ahadi zote nzuri ambazo Yehova aliwaahidi Waisraeli; zote zilitimia.+ 1 Wafalme 8:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 “Na asifiwe Yehova, ambaye amewapa watu wake Waisraeli mahali pa kupumzikia, kama alivyoahidi.+ Hakuna ahadi yoyote kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo aliahidi kupitia Musa mtumishi wake iliyokosa kutimia.+
45 Hakuna ahadi hata moja iliyokosa kutimia kati ya ahadi zote nzuri ambazo Yehova aliwaahidi Waisraeli; zote zilitimia.+
56 “Na asifiwe Yehova, ambaye amewapa watu wake Waisraeli mahali pa kupumzikia, kama alivyoahidi.+ Hakuna ahadi yoyote kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo aliahidi kupitia Musa mtumishi wake iliyokosa kutimia.+