Mwanzo 41:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kabla ya mwaka wa kwanza wa njaa kali, Asenathi, binti ya Potifera kuhani wa Oni* alimzalia Yosefu wana wawili.+ Yoshua 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wazao wa Yosefu walihesabiwa kuwa makabila mawili,+ Manase na Efraimu;+ nao hawakuwagawia Walawi urithi nchini, isipokuwa majiji+ ya kuishi na malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+
50 Kabla ya mwaka wa kwanza wa njaa kali, Asenathi, binti ya Potifera kuhani wa Oni* alimzalia Yosefu wana wawili.+
4 Wazao wa Yosefu walihesabiwa kuwa makabila mawili,+ Manase na Efraimu;+ nao hawakuwagawia Walawi urithi nchini, isipokuwa majiji+ ya kuishi na malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+