Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+ Mwanzo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi akapaita mahali hapo Betheli,* lakini hapo awali jiji hilo liliitwa Luzi.+ Hosea 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Aliendelea kushindana na malaika na kumshinda. Alilia na kumsihi apate kibali chake.”+ Alimkuta Yakobo kule Betheli, na huko akazungumza nasi,+
13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+
4 Aliendelea kushindana na malaika na kumshinda. Alilia na kumsihi apate kibali chake.”+ Alimkuta Yakobo kule Betheli, na huko akazungumza nasi,+