Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+ Zaburi 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova ni Mchungaji wangu.+ Sitakosa chochote.+
13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+