Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:37-39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa maana kama siku za Noa zilivyokuwa,+ ndivyo kuwapo* kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+ 38 Kwa maana kama walivyokuwa katika siku hizo kabla ya Gharika, wakila na kunywa, wanaume wakioa na wanawake wakiolewa, mpaka siku ambayo Noa aliingia ndani ya safina,+ 39 nao hawakujali mpaka Gharika ikaja na kuwafagilia mbali wote,+ ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.

  • 2 Petro 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda salama Noa, mhubiri wa uadilifu,+ pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki