19 Na katika hali hiyo alienda na kuwahubiria roho walio gerezani,+ 20 ambao mwanzoni hawakuwa watiifu Mungu alipokuwa akingoja kwa subira katika siku za Noa,+ safina ilipokuwa ikijengwa,+ ambayo ndani yake watu wachache, yaani, nafsi nane, walichukuliwa salama kupitia maji.+