13 Baada ya hayo Mungu akamwambia Noa: “Nimeamua kuwaangamiza wanadamu wote, kwa sababu wameijaza dunia ukatili, kwa hiyo nitawaangamiza pamoja na dunia.+
17 “Nami kwa upande wangu, nitaleta gharika ya maji+ duniani ili kuangamiza viumbe wote wenye pumzi ya uhai* walio chini ya mbingu. Kila kitu kilicho duniani kitaangamia.+