Ufunuo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”
5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”