Isaya 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda. Isaya 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu. Waroma 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na tena Isaya anasema: “Kutakuwa na mzizi wa Yese,+ yule anayesimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+
11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda.
10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+ Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.
12 Na tena Isaya anasema: “Kutakuwa na mzizi wa Yese,+ yule anayesimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+