Waamuzi 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi, kulikuwa na mtu mmoja huko Sora+ wa kabila la Dani+ aliyeitwa Manoa.+ Mke wake alikuwa tasa.+ Waamuzi 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Baadaye mwanamke huyo akazaa mwana na kumpa jina Samsoni;+ na mvulana huyo akazidi kukua, na Yehova akaendelea kumbariki. Waamuzi 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka 20 katika siku za Wafilisti.+
2 Basi, kulikuwa na mtu mmoja huko Sora+ wa kabila la Dani+ aliyeitwa Manoa.+ Mke wake alikuwa tasa.+
24 Baadaye mwanamke huyo akazaa mwana na kumpa jina Samsoni;+ na mvulana huyo akazidi kukua, na Yehova akaendelea kumbariki.