Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Dani+ atawahukumu watu wake akiwa mmoja wa makabila ya Israeli.+

  • Waamuzi 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi Yehova alikuwa akiwapa waamuzi ambao waliwaokoa kutoka mikononi mwa waporaji.+

  • Waamuzi 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova,+ na Yehova akawatia mikononi mwa Wafilisti+ kwa miaka 40.

  • Waamuzi 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tazama! Utapata mimba na kuzaa mwana; na hakuna wembe utakaogusa kichwa chake+ kwa sababu mtoto huyo atakuwa Mnadhiri wa Mungu tangu kuzaliwa,* naye atawaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wafilisti.”+

  • Waamuzi 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Baadaye ndugu zake na watu wote wa familia ya baba yake wakaja kumchukua. Wakamzika kati ya Sora+ na Eshtaoli katika kaburi la Manoa+ baba yake. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka 20.+

  • Waebrania 11:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nami nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati nikiendelea kusimulia kuhusu Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yeftha,+ Daudi,+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki