Waamuzi 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha roho ya Yehova ikamtia nguvu,+ akaenda Ashkeloni,+ akawaua watu 30, akachukua mavazi yao na kuwapa watu waliotegua kitendawili.+ Akarudi nyumbani kwa baba yake akiwa amekasirika sana. Waamuzi 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akaona utaya mbichi wa punda dume; akauchukua na kuutumia kuua wanaume 1,000.+
19 Kisha roho ya Yehova ikamtia nguvu,+ akaenda Ashkeloni,+ akawaua watu 30, akachukua mavazi yao na kuwapa watu waliotegua kitendawili.+ Akarudi nyumbani kwa baba yake akiwa amekasirika sana.