Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo Yehova akasema: “Nitawafagilia mbali kutoka duniani wanadamu ambao nimewaumba, wanadamu pamoja na wanyama wa kufugwa, wanyama wanaotambaa, na viumbe wanaoruka angani, kwa sababu ninaghairi kwamba niliwaumba.”

  • 2 Petro 3:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana, wanapuuza kimakusudi jambo hili, kwamba zamani za kale kulikuwa na mbingu na dunia iliyokuwa imesimama imara kutoka katika maji na katikati ya maji kwa neno la Mungu;+ 6 na kwamba kwa njia hizo ulimwengu wa wakati huo uliangamia kwa gharika ya maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki