Mwanzo 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Utatengeneza dirisha la kuingiza mwangaza kwenye safina,* mkono mmoja kutoka juu. Unapaswa kutengeneza mlango ubavuni mwake,+ na utengeneze ghorofa ya chini, ghorofa ya pili, na ghorofa ya tatu.
16 Utatengeneza dirisha la kuingiza mwangaza kwenye safina,* mkono mmoja kutoka juu. Unapaswa kutengeneza mlango ubavuni mwake,+ na utengeneze ghorofa ya chini, ghorofa ya pili, na ghorofa ya tatu.