17 Kisha akamwambia Adamu:* “Kwa sababu uliisikiliza sauti ya mke wako na kula matunda ya mti ambao nilikuamuru+ hivi kuuhusu, ‘Usile matunda yake,’ ardhi imelaaniwa kwa sababu yako.+ Kwa maumivu utakula mazao yake sikuzote za maisha yako.+
29 Akamwita mwana huyo Noa,*+ akisema: “Huyu atatufariji katika kazi yetu ngumu na katika kazi inayoumiza ya mikono yetu kwa sababu ya ardhi iliyolaaniwa+ na Yehova.”