7Baada ya hayo Yehova akamwambia Noa: “Ingia ndani ya safina, wewe pamoja na watu wote wa nyumbani mwako, kwa sababu nimekuona wewe peke yako kuwa mwadilifu mbele zangu miongoni mwa kizazi hiki.+
14 “‘Hata ikiwa watu hawa watatu—Noa,+ Danieli,+ na Ayubu+—wangekuwa humo, wangejiokoa wao wenyewe* tu kwa sababu ya uadilifu wao,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
7 Kwa imani, Noa+ baada ya kuonywa na Mungu kuhusu mambo ambayo bado hayakuwa yameonekana,+ alimtii Mungu* kwa kujenga safina+ kwa ajili ya kuiokoa nyumba yake; na kupitia imani hiyo aliuhukumu ulimwengu,+ naye akawa mrithi wa uadilifu unaotokana na imani.
20 ambao mwanzoni hawakuwa watiifu Mungu alipokuwa akingoja kwa subira* katika siku za Noa,+ safina ilipokuwa ikijengwa,+ ambayo ndani yake watu wachache, yaani, nafsi nane,* walichukuliwa salama kupitia maji.+
5 Naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda salama Noa, mhubiri wa uadilifu,+ pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu.+