Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baada ya hayo Yehova akamwambia Noa: “Ingia ndani ya safina, wewe pamoja na watu wote wa nyumbani mwako, kwa sababu nimekuona wewe peke yako kuwa mwadilifu mbele zangu miongoni mwa kizazi hiki.+

  • Ezekieli 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hata ikiwa watu hawa watatu—Noa,+ Danieli,+ na Ayubu+—wangekuwa humo, wangejiokoa wao wenyewe* tu kwa sababu ya uadilifu wao,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

  • Mathayo 24:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa maana kama siku za Noa zilivyokuwa,+ ndivyo kuwapo* kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+

  • Waebrania 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa imani, Noa+ baada ya kuonywa na Mungu kuhusu mambo ambayo bado hayakuwa yameonekana,+ alimtii Mungu* kwa kujenga safina+ kwa ajili ya kuiokoa nyumba yake; na kupitia imani hiyo aliuhukumu ulimwengu,+ naye akawa mrithi wa uadilifu unaotokana na imani.

  • 1 Petro 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ambao mwanzoni hawakuwa watiifu Mungu alipokuwa akingoja kwa subira* katika siku za Noa,+ safina ilipokuwa ikijengwa,+ ambayo ndani yake watu wachache, yaani, nafsi nane,* walichukuliwa salama kupitia maji.+

  • 2 Petro 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda salama Noa, mhubiri wa uadilifu,+ pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki