Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+

      Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+

  • Yeremia 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Yehova akaniambia: “Hata kama Musa na Samweli wangekuwa wamesimama mbele zangu,+ singewaonyesha kibali* watu hawa. Wafukuze kutoka mbele zangu. Waache waende.

  • 2 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki