7 Kwa imani, Noa+ baada ya kuonywa na Mungu kuhusu mambo ambayo bado hayakuwa yameonekana,+ alimtii Mungu* kwa kujenga safina+ kwa ajili ya kuiokoa nyumba yake; na kupitia imani hiyo aliuhukumu ulimwengu,+ naye akawa mrithi wa uadilifu unaotokana na imani.