Zaburi 120:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mgeni Mesheki!+ Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+ Ezekieli 32:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Watu wa Mesheki na Tubali+ na umati wao* wote wako huko. Makaburi yao yamemzunguka. Wote hawajatahiriwa, wamechomwa kwa upanga, kwa sababu walisababisha hofu katika nchi ya walio hai.
26 “‘Watu wa Mesheki na Tubali+ na umati wao* wote wako huko. Makaburi yao yamemzunguka. Wote hawajatahiriwa, wamechomwa kwa upanga, kwa sababu walisababisha hofu katika nchi ya walio hai.