Zaburi 139:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia inayoogopesha na kustaajabisha.+ Kazi zako zinastaajabisha,+Ninajua* vizuri sana jambo hilo. Mathayo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Akawajibu: “Je, hamkusoma kwamba yule aliyewaumba tangu mwanzo aliwaumba mwanamume na mwanamke+ Marko 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, tangu mwanzo wa uumbaji ‘Aliwaumba mwanamume na mwanamke.+ 1 Wakorintho 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana mwanamume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano na utukufu wa Mungu,+ lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume. 1 Wakorintho 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Isitoshe, mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.+
14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia inayoogopesha na kustaajabisha.+ Kazi zako zinastaajabisha,+Ninajua* vizuri sana jambo hilo.
7 Kwa maana mwanamume hapaswi kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano na utukufu wa Mungu,+ lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.