Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu;+

      Na anga lililo juu linatangaza kazi ya mikono yake.+

  • Zaburi 104:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi sana, Ee Yehova!+

      Umezifanya zote kwa hekima.+

      Dunia imejaa vitu ulivyoumba.

  • Zaburi 111:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kazi za Yehova ni kuu;+

      ד [Daleth]

      Wale wote wanaopendezwa nazo hujifunza kuzihusu.+

  • Ufunuo 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki