Zaburi 150:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 150 Msifuni Yah!*+ Msifuni Mungu katika mahali pake patakatifu.+ Msifuni katika anga la* nguvu zake.+ Ufunuo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Unastahili, Ee Yehova* Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi yako vilitokea navyo vikaumbwa.”
150 Msifuni Yah!*+ Msifuni Mungu katika mahali pake patakatifu.+ Msifuni katika anga la* nguvu zake.+
11 “Unastahili, Ee Yehova* Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi yako vilitokea navyo vikaumbwa.”