Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha Yehova akasema: “Kilio dhidi ya Sodoma na Gomora kwa kweli ni kikubwa,+ na dhambi yao ni nzito sana.+

  • Mwanzo 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao walikuwa wakimwambia Loti kwa sauti: “Wako wapi wale wanaume waliokuja kwako usiku wa leo? Walete nje kwetu ili tufanye nao ngono.”+

  • 2 Petro 2:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu, aliyahukumu+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu kuhusu mambo yatakayokuja.+ 7 Naye alimwokoa Loti mwadilifu,+ aliyetaabishwa sana na mwenendo mpotovu* wa waasi sheria— 8 kwa maana siku baada ya siku mtu huyo mwadilifu alikuwa akiitesa nafsi* yake yenye uadilifu kwa sababu ya matendo ya kuasi sheria aliyoona na kusikia alipokuwa akiishi miongoni mwao.

  • Yuda 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Vivyo hivyo, watu wa Sodoma na Gomora na majiji ya karibu walifanya uasherati* wa kupindukia na kufuatilia tamaa za mwili zilizo kinyume cha maumbile;+ wamewekwa mbele yetu kama onyo kwa sababu walihukumiwa adhabu ya moto wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki