Mwanzo 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo Loti akainua macho yake na kuona kwamba wilaya yote ya Yordani+ ilikuwa na maji ya kutosha (kabla Yehova hajaharibu Sodoma na Gomora), kama bustani ya Yehova,+ kama nchi ya Misri, mpaka Soari.+ Mwanzo 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Abramu aliishi katika nchi ya Kanaani, lakini Loti aliishi katika majiji ya wilaya hiyo.+ Hatimaye akapiga hema lake karibu na Sodoma.
10 Kwa hiyo Loti akainua macho yake na kuona kwamba wilaya yote ya Yordani+ ilikuwa na maji ya kutosha (kabla Yehova hajaharibu Sodoma na Gomora), kama bustani ya Yehova,+ kama nchi ya Misri, mpaka Soari.+
12 Abramu aliishi katika nchi ya Kanaani, lakini Loti aliishi katika majiji ya wilaya hiyo.+ Hatimaye akapiga hema lake karibu na Sodoma.