-
Mwanzo 14:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Sasa katika siku za Amrafeli mfalme wa Shinari,+ Arioko mfalme wa Elasari, Kedorlaoma+ mfalme wa Elamu,+ na Tidali mfalme wa Goiimu, 2 wafalme hawa walikwenda kupigana vita na Bera mfalme wa Sodoma,+ Birsha mfalme wa Gomora,+ Shinabu mfalme wa Adma, Shemeberi mfalme wa Seboiimu,+ na mfalme wa Bela, yaani, Soari.
-