4 Lakini Farao hatawasikiliza ninyi, nami nitauweka mkono wangu juu ya Misri na kuyatoa makundi yangu makubwa,* watu wangu, Waisraeli, kutoka katika nchi ya Misri kwa hukumu kubwa.+
4 Wakati huo, Wamisri walikuwa wakiwazika wazaliwa wao wote wa kwanza ambao Yehova aliwaangamiza,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ametekeleza hukumu dhidi ya miungu yao.+