Mwanzo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini Sara alikuwa akiona kwamba mwana ambaye Hagari+ Mmisri alimzalia Abrahamu, alikuwa akimdhihaki Isaka.+ Wagalatia 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa mfano, imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili, mmoja kupitia kijakazi+ na mwingine kupitia mwanamke aliye huru;+ Wagalatia 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mambo haya yanaweza kumaanisha tukio la mfano; kwa maana wanawake hawa wanamaanisha maagano mawili, moja kutoka Mlima Sinai,+ ambalo huzaa watoto kwa ajili ya utumwa na ambalo ni Hagari.
9 Lakini Sara alikuwa akiona kwamba mwana ambaye Hagari+ Mmisri alimzalia Abrahamu, alikuwa akimdhihaki Isaka.+
22 Kwa mfano, imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili, mmoja kupitia kijakazi+ na mwingine kupitia mwanamke aliye huru;+
24 Mambo haya yanaweza kumaanisha tukio la mfano; kwa maana wanawake hawa wanamaanisha maagano mawili, moja kutoka Mlima Sinai,+ ambalo huzaa watoto kwa ajili ya utumwa na ambalo ni Hagari.