Mwanzo 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Mungu akamwambia Abramu: “Ujue kwa hakika kwamba wazao* wako watakuwa wageni katika nchi ambayo si yao na kwamba watu wa nchi hiyo watawafanya kuwa watumwa na kuwatesa kwa miaka 400.+ Wagalatia 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa mfano, imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili, mmoja kupitia kijakazi+ na mwingine kupitia mwanamke aliye huru;+ Wagalatia 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Lakini kama ilivyokuwa wakati huo, yule aliyezaliwa kupitia njia ya asili* alianza kumtesa yule aliyezaliwa kupitia roho,+ ndivyo ilivyo pia sasa.+
13 Kisha Mungu akamwambia Abramu: “Ujue kwa hakika kwamba wazao* wako watakuwa wageni katika nchi ambayo si yao na kwamba watu wa nchi hiyo watawafanya kuwa watumwa na kuwatesa kwa miaka 400.+
22 Kwa mfano, imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili, mmoja kupitia kijakazi+ na mwingine kupitia mwanamke aliye huru;+
29 Lakini kama ilivyokuwa wakati huo, yule aliyezaliwa kupitia njia ya asili* alianza kumtesa yule aliyezaliwa kupitia roho,+ ndivyo ilivyo pia sasa.+